Pages

Friday, November 23, 2012

SOMA NENO KWANI NENO NI MSINGI WA MAISHA BORA


mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi (1timotheo 4:12)

je wewe ni kielelezo?, kama jibu lako ni NDIO hongera, kama jibu lako ni HAPANA mimi binafsi namwomba Mungu akusaidie ili ujana wako usidharaulike.

vijana wengi wamekuwa wakijitahidi kuwa kielelezo lakini shetani amewakwamisha kwa kiwango kikubwa sana,

NDUGU amua sasa kubadili maisha yako na kumwambia YESU akutyengeneze. maisha yako yabadilike na kuwa MAISHA BORA NDANI YA YESU

Mungu akubariki sana mpendwa.

KARIBU NDUGU MPENDWA

karibu sana Rij company tumtumikie Mungu.

ukitaka kupata mambo mengi zaidi ya kukusaidia, kama vile neno la Mungu na mengineyo; usisite kubonyeza katika vitufe vya pages, yaani HOME au WORD au PICS na kadhalika.

bonyeza WORD ili upate masomo mbalimbali ya kukujenga kiroho.

somo lililopo sasa katika WORD ni : SOMA NENO, TAFAKARI NENO, TENDA NENO
nakukaribisha sana ulisome kwani limekuwa msaada kwa watu wengi, najua nawe litakusaidia.

karibu